Monday 26 May 2014

MAVUNO MAKUBWA YA MAHINDI SHAMBANI KWA MHE. PINDA

PG4A0268 PG4A0291Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akikagua mavuno ya mahindi kutoka shmabani kwake yaliyokusanywa nyumbani kwake Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda Mai 24, 2014. Mheshimiwa Pinda anatarajia uvuna zaidi ya magunia 1000 ingawa ekari tano za mahindi hayo ziliharibiwa na Tembo kutoka hifadhi ya katavi. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu

No comments:

Post a Comment